Hukuipata Bidhaa Unayotafuta?
Tuambie unachotafuta, hata kama haipo dukani kwa sasa - tutakusaidia kukiagiza.
Taratibu za Usafirishaji
- Baada ya kutuma ombi, tutalikagua na kukupigia simu kukueleza bei na uwezekano wa kulipata.
- Ukishalipa: bidhaa nzito/kubwa husafirishwa kwa meli na huchukua siku 30 hivi kufika.
- Ukishalipa: bidhaa nyepesi/ndogo husafirishwa kwa ndege na huchukua siku 4 hivi kufika.
- Muda huu unaweza kubadilika kidogo kutegemea ukaguzi wa forodha (customs) - hauko mikononi mwetu 100%.
- Malipo ni kwa M-Pesa Lipa Namba, kama huduma zetu nyingine - tutakupa namba baada ya kukubaliana bei.